la magica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,802
- 2,737
"kuwa mwana CCM inahitaji degree ya unafki" MusibaNaunga mkono hoja, uchaguzi huu umeendeshwa vizuri sana, ilikuwa ni uchaguzi huru na wa haki. Atakashinda, ameshinda kwa haki na halali na aliyeshindwa, ameshindwa kwa haki. Mshindwa ampongeze mshindi, maisha yaendelee.
P