harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Ilikua sio suala la kushangaza kwamba Riz moko atachukua jimbo la Chalinze cha kura nyingi sana yaani asilimia 90
hapo ndipo alipozaliwa na hapo ndipo baba alipoanzia maisha ya siasa
na ni ngome kuu ya CCM pia
cha kufurahisha ni kwamba hata wapinzani yaani CDM na CUF wanaelewa hilo na hawana tatizo nalo
Achilia mbali kuwa huyu jamaa ni Mtoto wa Mkuu wa kaya lakini ameonyesha democrasia kwa kugombea
yaani kuomba kura badala ya kupewa ubunge wa viti maalum na baba yake au chama chake
baadhi ya wadau watalalamika kwamba ni utawala wa kifalme lakini huwa wafalme hawapigi kura.
NIchukue nafasi hii adimu Kumpongeza Riz moko na CCM MUngu ibariki Africa,mungu ibariki Tz
hapo ndipo alipozaliwa na hapo ndipo baba alipoanzia maisha ya siasa
na ni ngome kuu ya CCM pia
cha kufurahisha ni kwamba hata wapinzani yaani CDM na CUF wanaelewa hilo na hawana tatizo nalo
Achilia mbali kuwa huyu jamaa ni Mtoto wa Mkuu wa kaya lakini ameonyesha democrasia kwa kugombea
yaani kuomba kura badala ya kupewa ubunge wa viti maalum na baba yake au chama chake
baadhi ya wadau watalalamika kwamba ni utawala wa kifalme lakini huwa wafalme hawapigi kura.
NIchukue nafasi hii adimu Kumpongeza Riz moko na CCM MUngu ibariki Africa,mungu ibariki Tz