mada zile zile za watu wale, wakilala wanawaza Chadema, wakiamka chadema, wakibadili kidogo utasikia dr slaa, mara mbowe, badilikeni mnabowa
Mkuu, uwe unasoma post na kuielewa kabla ya kukimbilia kujibu!Najua ukijiuliza kwanini NCCR hawatafutwi na kukamatwa hovyo ungejua ni kwanini haya yanatokea. Mafisadi mkikosa la kufanya ndio maneno yenu. Huna lolote wewe na wenzako wakina Mwigulu nchemba.
Hao wanasubiri mkono wa binadamu uangukeHivi mwenye ni nani kati ya hao uliwataja? wewe na kundi lako la kina Mwita Maranya Chadema ikifa na nyie mmekwisha huo ndio ukweli wenyewe!!!
Haya ndio mambo yanayonikera ndani ya chadema,huyu ndio josephine mushumbusi, FIRST LADY MTARAJIWA
By Josephine
haya hapa chini ni maneno yake mwenyewe mtandaoni....
"hongera watakatifu.
akili zilizoganda, wapumbavu msiojua kesho yenu.
subirini,mtaisoma number msifikiri uwoga huu wa watanzania utadumu milele.
ameiba wake za watu,unaumia nini,amemuiba mama yako?
wewe ni wakili wake?stupid mind.
vinywa vyenu like public toilet,jifunzeni kuweka akiba ya maneno,kesho itawagharimu."
Haya ndio mambo yanayonikera ndani ya chadema,
Ukiingia chadema hakuna tofauti na kuingia choo cha bar ya matapu tapu, kuna harufu mbaya sana ya matusi