Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Yaani wanawake mnauwana wenyewe....Rafiki wa mama naomi alimkaribisha kumbe naye wale wale marafiki wenye wivu.. kaanika kila kitu nje kwa watu..
1. Asipozimwaga Siri zako nje basi....
2. Atakushauri usikubali nawe chepuka au kaanze maisha yako binafsi
Niwaulize wanawake wote ndani na nje ya JF.... UNALIPIZAJE KISASI KWA KUGEGEDWA NJE..??? HIVI UNAJUWA unapomkomesha mumeo Kwa kugongwa kisirisiri bila yeye kujua, UNAMKOMESHA YEYE AU WEWE MWENYEWE..??? YAANI UNAMKOMESHA MTU ASIYEJUA KWAMBA ANAKOMESHWA...!!¡
Halafu cha ajabu anayekushauri kuachana na mumeo YEYE ANAYASEMA HAYO AKIWA KWA MUMEWE...!!!