Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,102
- 13,328
Hata wewe nikikupa si utanifwata tu? Ngoja nikutumie saiv
Na kwa hali ilipofikia Marino atahamia rasmi mapenzini na Moses mana Fadhili ndo kashambwaga hvyo kimya kimya...Apewe laki 3 bila kuitolea jasho eti, atamfata tu Moses atachakazwaa namuonea huruma