Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,006
- 453,967
Nzuri sana Ely za wwHabari za siku Shunie
Nzuri sana Ely za wwHabari za siku Shunie
Ila namuona irene mbowe wa zamani wa fb kipindi hiko hata insta hamna na wa sasa tofauti kabisa
Wa sasa anajikweza kama unavyosema mamy tofauti na mwanzoni uko alikuwa wa kawaida sana labda ndio kubadilika kwa maisha
Za mimi nzuri/njema tu mamyNzuri sana Ely za ww
Tupo/nipoAcha kabisa jamani hivi kuna wakina fadhili humu
Asante Ely nakumiss pia jamaniZa mimi nzuri/njema tu mamy
Si kwa kukumiss huku Shunie
Mh ww hapanaTupo/nipo
Hahaha....mzee wa nini vile?Mh ww hapana
Nilikusoma kwa thread ya demiss mambo unayoongea si unaona fadhili hana maneno mengi
Kweli kabisaIla namuona irene mbowe wa zamani wa fb kipindi hiko hata insta hamna na wa sasa tofauti kabisa
Wa sasa anajikweza kama unavyosema mamy tofauti na mwanzoni uko alikuwa wa kawaida sana labda ndio kubadilika kwa maisha
Akhsante kwa kunimiss pia ShunieAsante Ely nakumiss pia jamani
Akhsante kwa kunimiss pia Shunie
Natambua/nathamini uwepo wako mkuu
Kwa upendo huo kulia lazimaHahaahaha
Mama Davis bwana unamlilia mume wa mtu
Ukimpata nialike dinner tuNamtafuta fadhili jamani
Kama wapo Wachache aiseAcha kabisa jamani hivi kuna wakina fadhili humu
HahhahahKwa upendo huo kulia lazima
Ukimpata nialike dinner tu
Ebu ngoja tuone labda wapoKama wapo Wachache aise
HahahahahaEbu ngoja tuone labda wapo
Acha kabisa jamani hivi kuna wakina fadhili humu
Hahaahhawalijisema wengine kama yeye ila wamekimbia kwi kwi kwi
Wameona hawamfikii
cocochanel