Naingiaje payroll mpya ya Serikali?

Nimesema nimeajiriwa mwezi wa 6 mwaka huu, hivyo mwezi wa saba sitaingia kwa payroll
Hongera kwa kuajiriwa. Siku payroll ikisoma, utukumbuke basi na sisi wenzako tuliokosa ajira kwa mara 5 mfululizo.
 
Mifumo inaendeshwa na watu, hata wakisema sasa hivi ifutwe/isimamishwe inawezekana; muhimu tu, huyo mwenye mamlaka analichukuliaje hilo tatizo.
Nimekuelewa sana, umenikumbusha shida ambazo raia hupata kipindi waingiapo kwenye ofisi za serikali kuhitaji huduma, unakuta mtu anazungushwa hata miezi wakati ni kuhitaji tu saini ya mtu basi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana, naomba nikuulize, kidato cha nne ulihitimu mwaka gani? Eleza ili watu wakusaide

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…