Naichukia CHADEMA!

Naichukia CHADEMA!

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________
 
Chadema ni tumaini jipya kwa watanzania wooote wapenda mabadiliko people's 😛eace: power! !!!!!!!
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________

Ujinga ni mzigo
 
CHADEMA huwa haipendwi na vichaa, inapendwa na watanzania wenye nia ya dhati kuendeleza Tanzania yao kwenye kuelekea katika uchumi imara bila kutembeza bakuli kwa waliberali akina Obama. CHADEMA ni tumaini pekee kwa mtanzania maskini, CHADEMA ni tumaini jipya la Afrika Mashariki.
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________
kujifanya mjinga wakati mtu una akili zako ni zaidi ya utumwa wa fikra.
 
Hata CDM yenyewe haikupendi kwa kuwa
1.Uliiba hela za EPA,
2.Umeficha hela za watanzania Uswizi,
3.Umeshiriki kwenye ujangili wa tembo,
4.Unatembelea VX la million 350,wakati mama zetu wanalala wanne kwenye kitanda, hospitalini.....
 
Haya mashairi ya kila siku tumeyachoka!CHADEMA ni mti wenye matunda,ndo maana hamtaacha kurusha mawe kila kukicha!Mtachoka wenyewe.
 
Sifa ya ziada kwa Chadema ni matumizi mabaya ya ruzuku
 
Haitakuwa rahisi na itashangaza sana kama CHADEMA itapendwa na mafisadi au watoto wa mafisadi kama ulivyo wewe!
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________

Njaa ni kitu kibaya sana!
 
Badala ya kuichukia CHADEMA unatakiwa uichukie serikali ya MAGAMBA iliyokunyima elimu na uwezo wa kuchanganua issues mpaka unachukia chama chenye tumaini la ukombozi halisi wa Tanzania.
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________

Who cares! Afterall you matter the least katika uhai; mikakati na maono ya CDM, you are inconsequential; a mere fly has never hurt a jumbo; read elephant!
 
pole kwa kuichukia chadema. ila wengi wanaoichukia chadema ni mafisadi kama ww ni mtu mwenye uchungu na nchi yako huwezi chukia chama sema kweli na wazi.
 
Kama unaichukia chadema meza wembe, au jinyonge kabisa.
 
Hakuna chama ambacho watanzania wameweka matumaini yao zaidi ya Chadema.Mungu Ibariki chadema na walaani watu wote wanaoichukia Chadema.
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________

Hata wewe pia kuna watu hawakupendi sana tu
 
Back
Top Bottom