Naichukia CHADEMA!

Naichukia CHADEMA!

Kwa nini uipende CDM wakati mfumo uliopo unakunufaisha wa viongozi waliolikizo muda wote wawapo madarakani, isipokuwa siku Obama anapoingia na kukaa kwa muda wa siku mbili hurejea kazini. Mji wa Dar. unatakata siku mbili kwa sababu ya Obama na si kwa sababu ya mwananchi kama wewe!! Mambo yako mazuri kaka! Hutaki mabadiliko yoyote kwa sababu yatakuharibia mustakabali wa kutibiwa India, kusomesha watoto wako ng'ambo au shule bora nchini tofauti na "kata schools!" Mfumo uliopo hausikilizi tena masikini wanapotaka "India ndogo" ihamie hapa nchini; wanyama wasihamishwe kwenda Qatar; pesa zilizofichwa Uswisi zirejeshwe!
 
Mimi Chadema nawapenda sana sababu wataendelea kuwa wapinzani maisha na Dr Slaa ataendelea kuwa rais kivuli muda wote.

Pamoja na kutumika na lumumba project lakini angalau kidogo wewe unajitambua kwa kiasi fulani.
We endelea kutumikia ajira yako kwakuwa huna jinsi lakini najua siku moja isiyo mbali utajiunga nasi.
 
kiukweli mimi nawashangaa sana wanaoiponda cdm, kwa sababu dhahiri ukiangalia sera za cdm ulinganishe na za ccm,moja kwa moja utaona ccm ni pumba tupu,lakini kwa nguvu ya pesa waliyonayo na policcm wao,usalama wa taifa wanajitahid sana kuwatumia kuficha maovu,bomu la arusha binafsi najua ni ccm,huwa najiuliza risasi zilizokua zinapigwa hasa kuelekea katika jukwaa la cdm ni nini? Au mrusha bomu alikimbilia huko?afu kwanini mhangaike kuwarubuni majeruhi watoe ushahidi mnaoutaka? Jamani Mungu anasimama upande wa cdm hizi mbinu chafu za ccm si rahisi kukwepa pasipo Mungu, kwa kibanda wamepakaza maneno weeeeeeeee wameshindwa,na bado wanaandaa mbinu zingine,KUbwa Jinga amekaa tu akiwashukuru vjana wake kwa ushetani huo, eti na hiki kijamaaa humu kinaichukia cdm,shame on you! Mi nitaipenda daima
 
we kweli hamnazo, sababu nyingi ulizonzitaja ni purely tabia za ccm. Ila kabla ya kushangaa cdm kwa kukosa uzalendo ungeanza na kujitathmini mwenyewe kwann huoni jinsi ambavyo ccm wamekosa uzalendo na kuiharibi taifa.
Shame on you
 
Kauli nyepesi na tata kama hizi ndizo zinazojengea baadhi ya wananchi wanaoshabikia vyma vya siasa tofauti. Kimsingi suala la kupenda au kuokipenda chama chochote cha siasa ni suala la mtu binafsi linalopaswa kudhihirishwa kwenye sanduku la kura tu. Kwa kuandika maneno haya hapa sijui mwandishi anakusudia hasa kupata nini.
 
Kauli nyepesi na tata kama hizi ndizo zinazojengea baadhi ya wananchi wanaoshabikia vyma vya siasa tofauti. Kimsingi suala la kupenda au kuokipenda chama chochote cha siasa ni suala la mtu binafsi linalopaswa kudhihirishwa kwenye sanduku la kura tu. Kwa kuandika maneno haya hapa sijui mwandishi anakusudia hasa kupata nini.

Kutoa picha halisi ya CHADEMA, chama kisichokuwa na malengo ya kuendeleza nchi; wamekalia kuchochea vurugu nchini, wewe mwenyewe umethibitisha jana KIKAO CHA KAMATI KUU KINAKUJA NA MAAZIMIO YA KUANZIASHWA CHOMBO CHA ULINZI; wafikiri POLISI watafanya nini kama siyo migongano baina ya RED BRIGADE na POLISI
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________
Akili ni nywele kila mtu ana zake..Wewe naona zako ni nywele lakini Aina ya zile zinazoota kwapani/makalioni/na huku chini
 
Hata baba yangu akigombea urais kupitia ccmsitampigia kura
 
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini

Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________


Heeeeeeee uwiiiiiiiiii nimefungua haraka nikijua sred imeletwa na mtu mwenye akili kumbe aaaghhhhrrrr!
 
Kutoa picha halisi ya CHADEMA, chama kisichokuwa na malengo ya kuendeleza nchi; wamekalia kuchochea vurugu nchini, wewe mwenyewe umethibitisha jana KIKAO CHA KAMATI KUU KINAKUJA NA MAAZIMIO YA KUANZIASHWA CHOMBO CHA ULINZI; wafikiri POLISI watafanya nini kama siyo migongano baina ya RED BRIGADE na POLISI

Pole sana kijana !
 
Nimeipenda post yako sana 8691jakigili

Nitakupa like soon!


Kwa nini uipende CDM wakati mfumo uliopo unakunufaisha wa viongozi waliolikizo muda wote wawapo madarakani, isipokuwa siku Obama anapoingia na kukaa kwa muda wa siku mbili hurejea kazini. Mji wa Dar. unatakata siku mbili kwa sababu ya Obama na si kwa sababu ya mwananchi kama wewe!! Mambo yako mazuri kaka! Hutaki mabadiliko yoyote kwa sababu yatakuharibia mustakabali wa kutibiwa India, kusomesha watoto wako ng'ambo au shule bora nchini tofauti na "kata schools!" Mfumo uliopo hausikilizi tena masikini wanapotaka "India ndogo" ihamie hapa nchini; wanyama wasihamishwe kwenda Qatar; pesa zilizofichwa Uswisi zirejeshwe!


MAFILILI uliipata hii? Wahi Lumumba ukapoke buku 7
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom