Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Anashasta Nditiye, amepata ajali leo Jumapili, Novemba 11, 2018 maeneo ya Iguguno mkoani Singida akielekea Jijini Dodoma.
Mwananchi limezungumza na kiongozi huyo kwa njia ya simu na amesema kwamba, katika ajali hiyo hakuna ambaye amepata madhara baada ya gari hilo kupinduka mara nne.
"Katika tulikuwa kwenye gari wote tumetoka salama hakuna madhara kwa mtu kuumia, tunamshuru Mungu licha gari kupinduka mara nne" alisema Nditiye.
Nimeambatanisha video ya hali ya gari baada ya ajali.
Mwananchi limezungumza na kiongozi huyo kwa njia ya simu na amesema kwamba, katika ajali hiyo hakuna ambaye amepata madhara baada ya gari hilo kupinduka mara nne.
"Katika tulikuwa kwenye gari wote tumetoka salama hakuna madhara kwa mtu kuumia, tunamshuru Mungu licha gari kupinduka mara nne" alisema Nditiye.
Nimeambatanisha video ya hali ya gari baada ya ajali.