ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,110
- 49,823
Akizindua Ripoti ya utafiti ya athari za upatikanaji wa Nishati ya umeme ,Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko amesema Vijiji 11,079 sawa na 90% vimefikiwa na umeme na kwamba Vijiji vilivyosalia vipatavyo 1,239 vitapata umeme kabla ya June 2024 hivyo umeme kufikia Vijiji vyote.
View: https://www.instagram.com/p/CzeOOU1Nb6C/?igshid=cTYyeHpzOW85Y3Uy
My Take
By June 2025 Vijiji vyote vitafikiwa na Maji ya Bomba
By June 2024,Vijiji vyote vitafikiwa na Umeme
Na by June 2025 ,Vijiji vyote Vitakuwa vinafikiwa na Barabara
By June 2027,Vijiji vyote Vitakuwa na Zahanati
Kwa Mwendo huu kufikia 2030 Tanzania itakuwa ni Moja ya Nchi zilizoendelea sana hapa Afrika.
Hongera sana Serikali ya Rais Samia Kwa kazi nzuri.
View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1722564567283245480?t=a7DfOKcKWyFy4k03hVYQcg&s=19
View: https://www.instagram.com/p/CzeOOU1Nb6C/?igshid=cTYyeHpzOW85Y3Uy
My Take
By June 2025 Vijiji vyote vitafikiwa na Maji ya Bomba
By June 2024,Vijiji vyote vitafikiwa na Umeme
Na by June 2025 ,Vijiji vyote Vitakuwa vinafikiwa na Barabara
By June 2027,Vijiji vyote Vitakuwa na Zahanati
Kwa Mwendo huu kufikia 2030 Tanzania itakuwa ni Moja ya Nchi zilizoendelea sana hapa Afrika.
Hongera sana Serikali ya Rais Samia Kwa kazi nzuri.
View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1722564567283245480?t=a7DfOKcKWyFy4k03hVYQcg&s=19