Regery
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 260
- 192
Unaongea usiyoyajua! Mwingine alipewa Adv. payment leo kesho kiongozi akatokea ikaonekana kana kwamba kalipwa kingi kazi hataki kufanya!!Acha kumtisha na kumkebehi naibu waziri
Hiyo miradi,ina mikataba yake,kama kandarasi amepewa 80%,na mradi upo kwenye 10% ya ujenzi maana yake huyo kandarasi ni mwizi.
hayo mambo unayotetea ndio yametufikisha hapa