Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
- Thread starter
- #21
Ana uelewa mdogo sana.Nafikiri humjui Awesso vizuri mkuu ila nikuhakikishie tu mkuu kwamba jamaa amejaaliwa karama ya juu sana ya kutekeleza mambo
Kwa nyie watu wake mshaurini ajifunze kazi kwanza kuliko ku seek popularity ya kumfurahisha mkubwa.
Na kwa taarifa tu, ni kwa sababu anawachezea makandarasi wadogo wazalendo, afanye hivyo kwa wakubwa na wa nje, kama hawambwagia miradi na serikali kudaiwa fidia zinazoweza kuleta hasara kubwa.