Wakati huo huo, Mh. Ester Bulaya amekamatwa na polisi kwa kuingia katika jimbo lisilo la kwake na kuchangia mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingiNaibu Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson amekabidhi mil.10 kuchangia ujenzi wa soko la SIDO Mbeya lililoungua moto karibuni
And Wonders shall never end.Wakati huo huo, Mh. Ester Bulaya amekamatwa na polisi kwa kuingia katika jimbo lisilo la kwake na kuchangia mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi
Anataka kutesti zari kwa sugu. nkhe. wananiita suugu, sugu sugu suguuuuNaibu Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson amekabidhi mil.10 kuchangia ujenzi wa soko la SIDO Mbeya lililoungua moto karibuni
Mbunge wa Mbeya Mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi Ametoa Sh. 0.00/= hadi sasa.
Sasa mbona wapinzani wakitoa wanakamatwa? Huyo Mungu ni wa ccm tu?Anaonekana ana moyo wa kujitoa namuona sehemu nyingi anajitolea, Mwenyezi Mungu ambariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati huo huo Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya wananchi wanahangaika na ukosefu wa Maji safi mjini Bunda.Wakati huo huo, Mh. Ester Bulaya amekamatwa na polisi kwa kuingia katika jimbo lisilo la kwake na kuchangia mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika shule za msingi
Labda na Chato shida ya maji, umeme, umaskini Imegeuka kuwa HistoriaWakati huo huo Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya wananchi wanahangaika na ukosefu wa Maji safi mjini Bunda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Wassira alilikalia hilo jimbo zaidi ya miaka 30 hakuweza kuleta maji inakuwaje Ester alete maji ndani ya miaka miwili? Kuwa mtu mzima mkuu na jitahidi kufikiria kidgo hata kama hukwenda shule tumia akili ya kawaida tu utakuwa huposti ujinga.Wakati huo huo Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya wananchi wanahangaika na ukosefu wa Maji safi mjini Bunda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naibu Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson amekabidhi mil.10 kuchangia ujenzi wa soko la SIDO Mbeya lililoungua moto karibuni
Mbunge wa Mbeya Mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi Ametoa Sh. 0.00/= hadi sasa.
Naibu Spika wa Bunge la JMT, Dkt Tulia Ackson amekabidhi mil.10 kuchangia ujenzi wa soko la SIDO Mbeya lililoungua moto karibuni
Mbunge wa Mbeya Mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi Ametoa Sh. 0.00/= hadi sasa.