HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
Wakati mwana mfalme wa Uingereza Prince William anasafiri ECONOMY na watu wa kawaida kama picha ilivyoonyesha hapo chini, wanasiasa wetu wakiongozwa na aliyekuwa spika wa bunge FISADI SAMUEL SITTA wanatumia zaidi ya milioni 20 kukata ticket ili wasafiri daraja la kwanza
bila aibu huyu naibu spikea JOB NDUGAI anapost na mapicha mithili ya Samuel 6 kuonyesha na ku blog jinsi anavyo waste tax payers money kwa kusafri 1st class kwenye emirates ambako kwa tripu moja alilipa tiket ya zaidi ya milioni 15 ili akae first class ya 380. Nimetaka kuonyesha picha naona kaziondoa lakini msome hapo chini:
"NDUGAI: WanaKongwa niko ndani ya Emirates Dream Airliner usiku huu narudi nyumbani. Paris Dubai dar. Tuombeane kheri
NDUGAI: Ndege hii ni ya ghorofa moja na inabeba abiria wengi sana. Kwenye 300 hivi kwa wakati mmoja. Hapo nilipo ni chumba cha daraja la kwanza na kuna huduma hadi baafu la kuoga ukiwa angani. Kwa mnywaji kuna vilaji vya kila aina na pia chakula wakati wowote"
bila aibu huyu naibu spikea JOB NDUGAI anapost na mapicha mithili ya Samuel 6 kuonyesha na ku blog jinsi anavyo waste tax payers money kwa kusafri 1st class kwenye emirates ambako kwa tripu moja alilipa tiket ya zaidi ya milioni 15 ili akae first class ya 380. Nimetaka kuonyesha picha naona kaziondoa lakini msome hapo chini:
"NDUGAI: WanaKongwa niko ndani ya Emirates Dream Airliner usiku huu narudi nyumbani. Paris Dubai dar. Tuombeane kheri
NDUGAI: Ndege hii ni ya ghorofa moja na inabeba abiria wengi sana. Kwenye 300 hivi kwa wakati mmoja. Hapo nilipo ni chumba cha daraja la kwanza na kuna huduma hadi baafu la kuoga ukiwa angani. Kwa mnywaji kuna vilaji vya kila aina na pia chakula wakati wowote"