johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Naibu Spika amesema Rais Magufuli alitoa maagizo kadhaa kuhusu ushuru na makato mbali mbali kwa wakulima wa zao la korosho. Miongoni mwayo ni wakulima kutokatwa directly madeni yoyote wanayodaiwa na pili ushuru kulipwa katika halmashauri moja tu.
Hivyo Dr Tulia amemtaka mnadhimu wa bunge mh Jenister Mhagama kutoa tafsiri sahihi ya maagizo hayo ya Rais kwa maandishi ili wabunge na wananchi wote kwa ujumla wawe na uelewa wa pamoja.
Naibu Spika ametoa maagizo hayo wakati akiahirisha bunge usiku huu.
Source TBC!
Hivyo Dr Tulia amemtaka mnadhimu wa bunge mh Jenister Mhagama kutoa tafsiri sahihi ya maagizo hayo ya Rais kwa maandishi ili wabunge na wananchi wote kwa ujumla wawe na uelewa wa pamoja.
Naibu Spika ametoa maagizo hayo wakati akiahirisha bunge usiku huu.
Source TBC!