Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,688
- 4,633
huyo mdada mwenyewe hana msimamo!
we mkule umwache aendelee na mme wake bna!
we mkule umwache aendelee na mme wake bna!
Revenge!
Unamfanyia nani? X wako, mumewe au wote wawili?
Umejaribu kuwazia outcome zingine zaidi ya wewe kufededwa ambayo umejiandaa nayo?
Can you live with it; huyo mpenzi wako akiuwawa na mumewe au unafikiri ni wewe pekee una hasira?
Sijui unasali wapi, lkn tumeambiwa "kisasi ni kazi yake Mungu"
Matokeo yake yanaweza yakawa mabaya kuliko unavofikiri..inaweza isiishie kuwa majeruhi tu ila ukapoteza uhai au ukatoa uhai wa mtu. Unless you are ready for anything because of that love.Ninafahamu reformer, nina mkakati wangu wa kujilinda, na wa kushambulia na unaweza ukafanya kazi au usifanye kazi lakini elewa hii ni vita na majeruhu ni lazima wawepo. Huwezi kuingia vitani na hutaki kupata majeruhi, hiyo haitakuwa vita. Kinachotakiwa ni mkakati wa kuhakikisha madhara kwa upande wako ni madogo kadiri inavyowezekana, mkakati huo ninao, swali kama utafanya kazi au la litajibiwa na muda.
..................................................................... Ukiwa rafiki yangu wa kweli nitakwenda kuzimu kwa ajili yako, ukiamua kunifanyia ushenzi basi tegemea majibu mara kumi wala simwachii MUNGU!
kumbe haya mambo yapo?
mlongo wangu snowhite una la kusema hapa?
mimi nimebaki na maswali kibao kichwani...... tusubiri labda Nicas Mtei anaweza akatutafutia mada inayofafanua haya.....
mwalimu gfsonwin naomba ufafanuzi wako tafadhali......
naona rafiki yangu Kaunga kaishia kutoa ushauri wa Kiroho tu, lol!
Lord have Mercy........
Unaweza kuwa sawa ila mara nyingi mi nimeona revenge sio suluhisho hata kidogo bali ni muendelezo wa chuki baina ya watu wanaolipiziana kisasi,huwezi jua revenge yako italeta madhara mabaya pengine hata kuutoa uhai wa mtu,utajisikiaje?kuna ule usemi kuwa hate has bring many problems but has not succeded to solve even a simngle problem,em utafakari usemi huu na kisha ufikirie possible outcomes za revenge yako.Blue G, Kulipa kisasi ni hisia za kwanza zinazoniongoza, mapenzi yapo ila si sababu.
Unaweza kuwa sawa ila mara nyingi mi nimeona revenge sio suluhisho hata kidogo bali ni muendelezo wa chuki baina ya watu wanaolipiziana kisasi,huwezi jua revenge yako italeta madhara mabaya pengine hata kuutoa uhai wa mtu,utajisikiaje?kuna ule usemi kuwa hate has bring many problems but has not succeded to solve even a simngle problem,em utafakari usemi huu na kisha ufikirie possible outcomes za revenge yako.
Hv nani kamwambia penzi linagombaniwa, eti hadi kulipa kisasi?............penzi hushawishiwa, mapenzi ni hisia tu its something unrealistic!!!!!
Ninafahamu reformer, nina mkakati wangu wa kujilinda, na wa kushambulia na unaweza ukafanya kazi au usifanye kazi lakini elewa hii ni vita na majeruhu ni lazima wawepo. Huwezi kuingia vitani na hutaki kupata majeruhi, hiyo haitakuwa vita. Kinachotakiwa ni mkakati wa kuhakikisha madhara kwa upande wako ni madogo kadiri inavyowezekana, mkakati huo ninao, swali kama utafanya kazi au la litajibiwa na muda.
mmmmmhhhhh!!!!! dunia ina mambo.... kwa kweli kwenye hili mimi nipo kimya kabisa
hata mimi shemeji nipo kimya mno!mno!
ngoja niwe tu kimya:tape2::tape2::shut-mouth: