Nahonga pakubwa nakula kidogo

Hivi kuhonga kupoje isijekuwa nahonga na sijui. Kumpa mkeo hela ya nywele, skincare, frequent mitoko na vitu kama hivyo ndo kuhonga au 🤔
 
Kwa jinsi hela navoisaka kwa shida alafu nitoe kizembe zembe hivo mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20250518_163036.jpg
    94.6 KB · Views: 15
kuhonga ni nini sasa
Kuhonga ni kutoa kile cha ziada usichokua nacho ili upewe cha ziada usichokua nacho

Kwa mfano; unataka kumgonga manzi somewhere lazima uandae mazingira ya kumgonga km kulipia bills ndogo ndogo sasa hayo matumizi ndio Hongo
 
Kuhonga ni kutoa kile cha ziada usichokua nacho ili upewe cha ziada usichokua nacho

Kwa mfano; unataka kumgonga manzi somewhere lazima uandae mazingira ya kumgonga km kulipia bills ndogo ndogo sasa hayo matumizi ndio Hongo
kiongozi umeni-konyuzi hapa kwamba unatoa cha ziada ambacho huna?? hii inawezekanaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…