Ofisa mjumbe
Member
- Nov 22, 2011
- 24
- 5
mimi ni mkulima na mfugaji niliamua kujikita huko baada ya kuhitimu mafunzo yangu ya atadi za kazi 'kikwzo ninachokutananacho ni hawa wanaojiita wanamazingira ,nifanyeje shughuli zangu za kilimo na ufugaji ili nikwepe UHARIBIFU WA MAZINGIRA?