Ila mkuu vitu vingine Mbona havihitaji hata kuuliza humu Jf. Au unakoishi huna access na hardware?
Anyways, unayotaka wewe inaitwa chain link fence siyo seng'eng'e!! Kwa dar inauzwa around 85 elfu hadi 90. Urefu wake kwa roll moja nimesahau japo nadhani haizid 15m.
Kama upo dar Nenda JEJE kabebe kwa bei ya jumla
sio kwel kwamba kila kitu uulize humu jf...mi nmenunua juz tu hapa kwa sh 70,000 mita 15 npo iringaAhsante kwa msaada wako kaka ila ndio maana Jf ipo ambayo ni msaada kwa kila mtu. Na ndio mana watu wako free kuuliza chochte bila kukejeliwa.
Bei nliotajiwa nnapoishi ni around Laki 1 na 10 na ndio mana nimeuliza.
Thanks anyway
sio kwel kwamba kila kitu uulize humu jf...mi nmenunua juz tu hapa kwa sh 70,000 mita 15 npo iringa
Ahsante kwa msaada wako kaka ila ndio maana Jf ipo ambayo ni msaada kwa kila mtu. Na ndio mana watu wako free kuuliza chochte bila kukejeliwa.
Bei nliotajiwa nnapoishi ni around Laki 1 na 10 na ndio mana nimeuliza.
Thanks anyway
Unamshangaa huyu!!kuna mmoja last week aliweka hapa tangazo la kuuza Kuku Jogoo wake mmoja.Ila mkuu vitu vingine Mbona havihitaji hata kuuliza humu Jf. Au unakoishi huna access na hardware?
Anyways, unayotaka wewe inaitwa chain link fence siyo seng'eng'e!! Kwa dar inauzwa around 85 elfu hadi 90. Urefu wake kwa roll moja nimesahau japo nadhani haizid 15m.
Kama upo dar Nenda JEJE kabebe kwa bei ya jumla
Mkuu haitwi senyeng'e hua inaitwa fance wire na ina kuwa na urefu wa 15mtrs na upana wa 6ft yaani (futi sita) na inategemea na m.l (yaani milimita) kama ni 3mm ni 85000/=hadi 95000/= hapo inategemea na duka!!na kama ni 2.5ml ni 65000/= mpaka75000/=Ila mkuu vitu vingine Mbona havihitaji hata kuuliza humu Jf. Au unakoishi huna access na hardware?
Anyways, unayotaka wewe inaitwa chain link fence siyo seng'eng'e!! Kwa dar inauzwa around 85 elfu hadi 90. Urefu wake kwa roll moja nimesahau japo nadhani haizid 15m.
Kama upo dar Nenda JEJE kabebe kwa bei ya jumla
Mkuu kuna ambazo zinazidi 3mm na kama zipo ni bei gani, kuna ambazo zina rangi?Mkuu haitwi senyeng'e hua inaitwa fance wire na ina kuwa na urefu wa 15mtrs na upana wa 6ft yaani (futi sita) na inategemea na m.l (yaani milimita) kama ni 3mm ni 85000/=hadi 95000/= hapo inategemea na duka!!na kama ni 2.5ml ni 65000/= mpaka75000/=
Huyo Sasa atakua hayupo seriousUnamshangaa huyu!!kuna mmoja last week aliweka hapa tangazo la kuuza Kuku Jogoo wake mmoja.
Bei ya jumla nasikia ni Tsh. 65,000/= per roller (15m). Rejareja ni zaidi ya Tsh. 100,000/= per roller.
fance wire = fence wire, kiswahili chake ni nini??Mkuu haitwi senyeng'e hua inaitwa fance wire na ina kuwa na urefu wa 15mtrs na upana wa 6ft yaani (futi sita) na inategemea na m.l (yaani milimita) kama ni 3mm ni 85000/=hadi 95000/= hapo inategemea na duka!!na kama ni 2.5ml ni 65000/= mpaka75000/=
Vyote sawa kwani tatizo liko wapi hayo ni majina ya mafundi!!ebu nenda dukani waambie unataka fance wire au senyeng'e uone kama sio tafauti!!any way baba yaishe naona wee msomi zaidi!!fance wire = fence wire, kiswahili chake ni nini??
na senyeng'e kiengereza chake ni nini??
Mkuu mbona sikuelewi,Vyote sawa kwani tatizo liko wapi hayo ni majina ya mafundi!!ebu nenda dukani waambie unataka fance wire au senyeng'e uone kama sio tafauti!!any way baba yaishe naona wee msomi zaidi!!
Tofauti ila utendaji kazi ni sawaMkuu mbona sikuelewi,
Sasa vyote sawa au tofauti??