Ova
Member
- Feb 18, 2017
- 46
- 31
Wanahitajika vijana wa kike na wa kiume 10 kujaza nafasi za kazi zilizo wazi.
Aina ya kazi:Kuuza na kusajili line za Airtel
Eneo la kazi😀ar es salam
Umri:Miaka 18 hadi 30
Uwe unaishi wilaya ya Temeke Dar es salaam(tandika,buza,mbagala nk.)
Mshahara pamoja na malipo mengine utafahamishwa ukifika ofisini.
Mwisho wa maombi ni tarehe 30/3/2018
Kwa mawasiliano zaidi piga simu:-0683374987
Karibu.
Aina ya kazi:Kuuza na kusajili line za Airtel
Eneo la kazi😀ar es salam
Umri:Miaka 18 hadi 30
Uwe unaishi wilaya ya Temeke Dar es salaam(tandika,buza,mbagala nk.)
Mshahara pamoja na malipo mengine utafahamishwa ukifika ofisini.
Mwisho wa maombi ni tarehe 30/3/2018
Kwa mawasiliano zaidi piga simu:-0683374987
Karibu.