Budget yako?Nipo temeke mkubwa
Naamini ungeweka namba ya simu huenda ungefanikiwa haraka. Ila all the best.Nipo temeke mkubwa
Najaribu ku minimise costs,bongo bhana si ukanunue vyako ufanye biashara. ustarajie vitu used vikakuacha salama tuna umaskini sana hadi vifaa vya kuanzia biashara tunasubiri vilivyotumika. kwan ukitenga 1m yako hujapata vyombo vya kisasa vya kutengenezea na kupikia chipsi? hizi biashara zina mambo meng heb jitahdi uwe na vitu vipya utakuja kushuhudia haapahapa
Habari mkuu upo Temeke ipi?Habari wakuu
Nina shida na vifaa kwa ajili ya kukaangia chipsi, kama jiko, kabati la aluminium, karai , viti nk
Au mwenye chochote kati ya hivyo hapo juu aje tuongee biashara
Nipo dar es salaam temeke
Tuwasiliane mkuuNajaribu ku minimise costs,
Dukani tofauti na used
Then uchumi tunatofautiana