Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Asante sana, japo jana ametuma wadogo zake kwangu. Hawakunikuta
 
Umeokota malaya bar unasema mpenzi?
Sumu unywe ww afu sisi tukutafutiee maziwa??

Kufa tu
 
Daaaaah kuna watu Wamepitia njia hatari sana, achana naye Fanya maamuzi ya kiume, MUNGU hawez kuwa upande wako kila siku
 
Nimekuelewa mkuu..ushauri wangu nikwamba achana na huyo binti haraka iwezekavyo , soon atakuweka kwenye shimo ambalo hutaweza kutoka kabisa
 
Asante sana, japo jana ametuma wadogo zake kwangu. Hawakunikuta
Hata akimtuma shangazi yake... kaka huyu ukioa atakusumbua ..utapata presha mbeleni. Ni either ufanye maamuzi sasa au uteseke ww na kizazi chako... chaguo ni lako
 
Jela ama kifo vinapiga hodi mlangoni kwako... achana nae kabisa, ila kabla inabidi uondoe hicho ulifanyiwa 'dawa' either kwa maombi au njia nyingine otherwise ni kazi bure, hata ukioa utamfuata tu. hayo maoni yangu.
 
Batoto ba siku hizi bakho na bichwa ngumu sana dada mkuu
Yani bado nashindwa kumuelewa huyu kijana au ndo wale walisomaga seminary wanawake wamewajua wakiwa kazini,,usikute hata hyo mimba haikuepo anakwambia tu akuumize moyo wanawake akili zetu tunazijuaga wenyew bhana
 
Mwanmke wa Club unataka awe wa kwako mwenyewe...
 
Wewe kweli kaka mgeni,inaonekana ni mgeni wa hayo mambo,.......hv unajua kulinganisha kwelii,mdada wa club umweke ndani,
 
Mlikutania club alafu unashangaa yeye kupenda sana starehe!! Vumilia tu mkuu.
 
Jela ama kifo vinapiga hodi mlangoni kwako... achana nae kabisa, ila kabla inabidi uondoe hicho ulifanyiwa 'dawa' either kwa maombi au njia nyingine otherwise ni kazi bure, hata ukioa utamfuata tu. hayo maoni yangu.
Nahisi dawa sio bure huyu Mwanamke, nimemfata kwake tumeombana msamaha, amenieleza sababu za kufanya yote. Ameniahidi atabadilika. Navyoandika sasa tupo wote. Moyo wangu nahisi una amani. Hakika hii sio bure
 
Yani bado nashindwa kumuelewa huyu kijana au ndo wale walisomaga seminary wanawake wamewajua wakiwa kazini,,usikute hata hyo mimba haikuepo anakwambia tu akuumize moyo wanawake akili zetu tunazijuaga wenyew bhana
Nahisi dawa sio bure huyu Mwanamke, nimemfata kwake tumeombana msamaha, amenieleza sababu za kufanya yote. Ameniahidi atabadilika. Navyoandika sasa tupo wote. Moyo wangu nahisi una amani. Hakika hii sio bure
 
Yani bado nashindwa kumuelewa huyu kijana au ndo wale walisomaga seminary wanawake wamewajua wakiwa kazini,,usikute hata hyo mimba haikuepo anakwambia tu akuumize moyo wanawake akili zetu tunazijuaga wenyew bhana
Hapana nina historia nzuri tuu ya mahusiano na huyu sio Mwanamke wangu wa kwanza, cha ajabu ni kwamba najiuliza kwann nashindwa kumuacha?
 
Nahisi dawa sio bure huyu Mwanamke, nimemfata kwake tumeombana msamaha, amenieleza sababu za kufanya yote. Ameniahidi atabadilika. Navyoandika sasa tupo wote. Moyo wangu nahisi una amani. Hakika hii sio bure
We kaka rudi kwenu jamani jaribu kumueleza mtu mzima atakushauri na ufanyiwe sawa au maombi hapo utakufa mapema shaurilako
 
Kati ya wewe au mapenzi kuna bwege either ww au mapenzi, aliekupatia hio kaxi ndie kakuonea zaidi
 
We kaka rudi kwenu jamani jaribu kumueleza mtu mzima atakushauri na ufanyiwe sawa au maombi hapo utakufa mapema shaurilako
Asante kwa ushauri, tatizo nikiwa mbali nae moyo unaweweseka na kukosa amani kbs. Nitajitaidi kulifikisha kwa wazazi na viongozi Wangu wa kiroho
 
Kati ya wewe au mapenzi kuna bwege either ww au mapenzi, aliekupatia hio kaxi ndie kakuonea zaidi
Nahisi kuna vitu kanifanyia huyu Mwanamke, Mimi ni mwanaume mwenye misimamo, smart na muelewa. Hata mahusiano yangu yaliyopita niliweza ku-move on, ajabu uyu Mwanamke nanishangaa nashindwa kbs
 
Nahisi kuna vitu kanifanyia huyu Mwanamke, Mimi ni mwanaume mwenye misimamo, smart na muelewa. Hata mahusiano yangu yaliyopita niliweza ku-move on, ajabu uyu Mwanamke nanishangaa nashindwa kbs
Msimamo upi ulionao?? Huo wa kumuacha demu amegwe kisa pesa huku unaona au
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…