Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,273
- 89,324
Utapata kwa 32” hafu 720p
Utapata kwa 32” hafu 720p
hahahahaha, kuna mpaka zinaitwa tiboli?500k utapata tiboli, boss, nk.
Nunua Star X nchi 43 iko vizurirejea kichwa cha habari hapo juu, nataka kununua Tv nchi 43 ipi kampun nzuri,
Bajeti yangu 500k.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo bei hapati Samsung ya nchi 43Samsung ni nzuri sana
Aliomba ushauri na ushauri amepata.Kwahiyo bei hapati Samsung ya nchi 43
Aliweka angalizo la beiAliomba ushauri na ushauri amepata.
Laki 8 ndio bei zake kwa Dar!Duuh miye Hisense inchi 43 smart nilitoa 950,000. Labda used
Unapatikana wapi mkuu, na ich 50 unauzaje?Hisence 43 smart tv njoo nikupe kwa 750000 bei ya jumla
Unapatikana wapi mkuu?Hisence 43 smart tv njoo nikupe kwa 750000 bei ya jumla



Hiyo kubwa sana mkuu.njoo uchukuwe lg 52 inches kwa 750k used ila ipo okey
kuwa serious mkuu!!Tabu ya nini akati kuna 14 INCH elfu 45![]()
Duka lipo wapi? Na ina dvb t2.Hisence 43 smart tv njoo nikupe kwa 750000 bei ya jumla
Moja ya vitu vilivyo nivutia hapa JF kabla ya kujiunga, ni pamoja na hii MIZAHA MIZAHA!
ni nzuri y wastani hasa kam unatumia sebuleni au chumba kikubwa yani HD mno, by the way bynunua LG,Hisense,samsung og,Tcl, hata ukikuta ni mtumba chukua , ukitaka kujua hii ni hd sogelea karibu kabisa ktk screen picha unaiona clean vile vile,rangi haifubai
Sawa kila mtu na alivyopigwaLaki 8 ndio bei zake kwa Dar!