Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,981
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nataka kununua Tv nchi 43 ipi kampuni nzuri,
Bajeti yangu 500k.
Bajeti yangu 500k.
Ngoja nijipange nichote hiyo Hisencekwa hiyo pesa utapata kampuni za uchochoroni za kina Aborder, Boss, Mr. UK
walau ufike 800k upate Hisense
Tena hii bei ya mwisho kabisa 550kKwa bei hiyo utapata PMC .. usitegemee kupata tv nzur View attachment 2121252
Hiyo hapana mkuu, nataka HisenceTena hii bei ya mwisho kabisa 550k
Nipo Geita mkuu!Mkuu uko mkoa gani nikupe hisence 43 smart tv, kwa 800k used miezi mitatu.
Umekubali hiyo bei yangu
Tatizo bajeti yake ya laki tano...Samsung ni nzuri sana
Hapana
Kwani ina mapungufu gani?Kwa bei hiyo utapata PMC .. usitegemee kupata tv nzur View attachment 2121252