chid mawese
Member
- Dec 8, 2017
- 23
- 18
Kwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
Kuwanga mkuu nipo darUnataka wa kazi ipi, kuwanga, kujikinga, kuroga/kuagua watu, kufanya mazingaombwe??
Na je upo serious?? Sema upo wap
Mmhkwa shart moja lzima kafara ihucke ili kutunza majin na mizimu
Kawange kote marufuku kuja kwangu. Nakukata pangaKuwanga mkuu nipo dar
Nakuja kakaMkuu tukutane Salenda Bridge saa 8 na nusu usiku huu, usivae nguo yoyote njoo na shuka nyeupe na nyekundu nikupeleke sehemu.
Labda uwe fekiKawange kote marufuku kuna kwangu. Nakukata panga
Jmosi niPM namba yko, tenga siku ya Jmosi keshokutwa tusafir kdogo nje ya mji but tutarud siku hyohyo. Andaa elfu 70 tuKuwanga mkuu nipo dar
Mbn rahic in galama zote hio 70Jmosi niPM namba yko, tenga siku ya Jmosi keshokutwa tusafir kdogo nje ya mji but tutarud siku hyohyo. Andaa elfu 70 tu

Nipo njian kakaMkuu tukutane Salenda Bridge saa 8 na nusu usiku huu, usivae nguo yoyote njoo na shuka nyeupe na nyekundu nikupeleke sehemu.
NiombeeUkifanikiwa nigawie na Mimi Mkuu Tafadhali ...![]()
Hii inahusisha vitu vingi mkuu. Inamana hyo 70 ni nauli yake kwenda na kurudi pamoja na kuandaa vifaa vyote vya kazi.Mbn rahic in galama zote hio 70
Poa mtaalam takuchek pmHii inahusisha vitu vingi mkuu. Inamana hyo 70 ni nauli yake kwenda na kurudi pamoja na kuandaa vifaa vyote vya kazi.
Kuku mweupe, mayai mawili ya bundi, yai viza 1, nafaka (mtama mweupe) kilo 1, ukindu, chungu, mafuta ya taa robo, nazi 2, ubani maka wa 500, marashi rose chupa 3, sadaka 6000, + dawa yenyew.
Njoo PM tuweke mipango mkuu ili nisiharibu ratba zanguPoa mtaalam takuchek pm