Nahitaji turubai la kukodisha

Nahitaji turubai la kukodisha

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,757
Reaction score
2,664
Habari zenu woote,

Nahitaji kukodishiwa turubai mfano wa hili hapa chini, kwa muda wa wiki moja kw ajili ya klinik ya afya ngozi BURE.Itafanyika Mbezi mwisho , Dar es salaam.

Kama unajua wakodishaji, tafadhali nijulishe: 0713-039 875.

WhatsApp Image 2021-02-22 at 19.07.45.jpeg
 
Back
Top Bottom