Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Wakuu nina kiaidia mshenzi ambacho nataka kukifanya. Lakini sina ujanja na software development hivyo namsaka mwenye ujuzi huo.
Tafadhali kama una ujuzi wa software development na una experience ya kutosha basi hii inakuhusu. Mpango sio nikupe ajira lakini tukae chini tuone kama tunaweza kuwa partner na mimi nitakupa vision na jamaa wengine ambao watatusaidia.
NB: Lazima ukubali kusign NDA (Non-disclosure Agreement).
Tafadhali kama una ujuzi wa software development na una experience ya kutosha basi hii inakuhusu. Mpango sio nikupe ajira lakini tukae chini tuone kama tunaweza kuwa partner na mimi nitakupa vision na jamaa wengine ambao watatusaidia.
NB: Lazima ukubali kusign NDA (Non-disclosure Agreement).