Jaman naomba kuuliza
naweza pata smartphone gani nzuri kwa laki 2 dukani?
Arusha au Moshi
Specification za simu angalia hapa >| Huawei Ascend Y530 - Full phone specifications
- Nenda kwenye maduka ya Tigo
- Nunua Huawei Y530
- Inauzwa tsh 195'000
Pia kwenye hiyo link soma comments za watumiaji wa hiyo simu.
Kama unapendelea simu za tecno - Basi kuna hizi Tecno H- Series ambapo bei yake haizidi 160'000![]()
Mkuu nashukuru. kati ya Huawei G 510, Y 530 na Techno h6 ipi nzuri zaidi?
Mkuu ya simu gani ya 150000 nzuri!Specification za simu angalia hapa >| Huawei Ascend Y530 - Full phone specificationsPia kwenye hiyo link soma comments za watumiaji wa hiyo simu.
- Nenda kwenye maduka ya Tigo
- Nunua Huawei Y530
- Inauzwa tsh 195'000
Kama unapendelea simu za tecno - Basi kuna hizi Tecno H- Series ambapo bei yake haizidi 160'000
Mkuu ya simu gani ya 150000 nzuri!
Asante sana Mwl.RCT
- Chukua Huawei Y330 ni tsh 130'000 kwenye maduka ya simu
- Au Chukua Tecno H5 ni tsh 135'000 Kariakoo
- Kama itakuwa bahati yako waweza kupata Tecno H6 kwa TSH 160'000 Kariakoo [ Inabidi uwe na muda wa ziada kupita madukani na kuulizia]
Siyo mtazamo bali ni vile viroba ndio vinakuzinguaKuna simu hata kushika aibu...
Mie bora nishike nokia torch kuliko Techno au Huawei.
Na wazishikazo sijui nawaonaje...
Mhhh ni mtazamo tu
Siyo mtazamo bali ni vile viroba ndio vinakuzingua
Kuna simu hata kushika aibu...
Mie bora nishike nokia torch kuliko Techno au Huawei.
Na wazishikazo sijui nawaonaje...
Mhhh ni mtazamo tu
haya naona unanidolishia RaumWhat matters ni mawasiliano,am using huawei,and driving Toyota raum new model
Mkuu ya simu gani ya 150000 nzuri!
Tatizo lenu hamuelewi mtazamo si unachitumia wewe na mimi nitumie.
haya naona unanidolishia Raum
Ok am using Nokia torch &blackberry passport am driving nissan xtrail...