Nahitaji Simu haraka kwa bei 100,000

Acha ubishi Wewe Dogo hiyo simu inashida gani??
Simu original kabsaa hiyo
Unaleta ubishi kama ngoz ya goti
Sikutafutii tena simu
Watu Wajinga kama Wewe siwapi dili tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa jf raha sana.....

Ila mwisho wa siku namsihi mtoa mada awe makini na simu za wizi.....
Waandikishane tena ikibidi hata am record na biashara ifanyike nyumbn kwa muuzaji...

Ni week mbili tuu tumemtoa mdau selo
kwa dhamana asaiv anatafta M7 na Amepeta TB juu kwa kisimu cha Laki na nusu...

Hapa anaweza ni maneno tuu ila akitaka vitendo vinapatikana live....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona sasa
Mi nampa simu safi original kabsaa
Hutaki muache atafute hizo za wizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hela hiyo utapata Tecno na Itel tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…