Nahitaji Simu haraka kwa bei 100,000

Mr worldwide

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2017
Posts
348
Reaction score
740
Habari wakuu,

Nahitaji simu original kabisa haraka sana iwezekanavyo, budget iliyopo ni pesa ya Kitanzania shilingi laki moja (100,000)
Napatikana Dar es salaam
Aina ya simu inayohitajika ni miongoni mwa zifuatazo:

• Samsung Galaxy S4
•Samsung Grand Prime pro
•Tecno Camon CX Air
•Samsung Grand Prime (bei inaweza pungua)

Note: Bei inaweza kushuka na sio kupanda, wanaohitajika kuni PM ni wale tu wenye simu nilizoziorodhesha hapo juu.

Matapeli na wenye simu fake wasipite kabisa katika uzi huu.
 
Kweli JF imezubaa sana
Watu wanaoneshwa pesa lakini wamejificha

Simu bado sijapata
 
Hizo simu utapata kwa wala unga. Sasa hapa kama kuna wala unga wewe endelea kusubiri
Huna lolote, leo mume wa dakda yako yupo hajaenda kazini punguza kelele amepumzika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…