Nahitaji simu (Google pixel 9 a/pro)

Haujaandika kitu cha maana kabisa mazee nimeomba picha ya simu unayotumia maana umesema upo nayo goggle pixel 256 Gb kwa laki kadhaa kwa msisitizo umesema umetuma hela mara mbili ili kuipata baadae unakuja na maelezo ya uongo...
Maelezo y uongo n yapi, kwamba ww ndo unanijua kuliko navyojijua?
 
Nakutumiaje picha wakat ndo simu natumia mzee
Mkuu simu sio big ishu hoja yangu ni kuwa hiyo simu mudau anayotafuta hauwezi kupata kwa bei hiyo hata ukienda huko wanakotengeneza labda pixel za chini ya hiyo kwa nini unatumia nguvu kubwa kudanganya mazee..
 
Mkuu simu sio big ishu hoja yangu ni kuwa hiyo simu mudau anayotafuta hauwezi kupata kwa bei hiyo hata ukienda huko wanakotengeneza labda pixel za chini ya hiyo kwa nini unatumia nguvu kubwa kudanganya mazee..
Nguvu kubwa ipi hy kudanganya mzee, em soma comment yangu #19 ukiwa umeshirikisha akili, Acha mihemko
 
Nchi haiishi wajinga hii. Na moja ya wajinga hao ni wewe. Ngoja utapeliwe ndio akili ikukae sawa.
mkuu kuulz cy mjinga angekuwa mjinga si angetuma hera hapa kaja kutafuta msaada zaidi na cy kwamb ni mjinga tupo hapa kwa ajili ya kusaidianA
 
Mmoja ameniambia yupo Pemba
 

Attachments

  • Screenshot_20260730-150247.png
    1.1 MB · Views: 4
Nchi haiishi wajinga hii. Na moja ya wajinga hao ni wewe. Ngoja utapeliwe ndio akili ikukae sawa.
Kivipi Yani ?! Ujinga wangu ni upi ?! Kuuliza ama
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…