Ndo maana nimesema nipe offer yako!!!Hela haitoshi ongeza
toa 650 nikupe s3Nahitaji mojawapo ya simu hizo. Bajeti yangu kwa galaxy s3 ni 500k, na galaxy note 2 ni 650k. Naweza kuongeza kulingana na condition ya simu, rangi yoyote isipokuwa white. Kama unauza ni pm or contact 0717301520. I am waiting for your offers