diannajohn
Member
- Nov 13, 2016
- 76
- 8
Habari wanajamii forum, naitaj kupata msaada kwa mtu alie mwanza anielekeze mahali napoweza kupata samaki wabichi kwa bei nzur nataka nianze biashara hiyo nanunua na kuwakaanga arafu nauza sina mtaj mkubwa nataka nianze na kidogo tu