nimejiajiri,niko mid 20's mwanamke
napenda kufanya mazoezi ya ni mwemmba kiasi
ninamtafuta kwa ajili ya kuwa marafiki tu SIO WAPENZI
VIGEZO NIMTAKAE
1.above 28
2.single
3.awe anafanya kazi,(Kujiajiri/kuajiriwa)
4.awe anapenda vitu vya kisasa kwenye entertaimant sijui niiwekeje(SITAKI MKOLONI)
nb:just a friend
Awap! We uxjing'ateng'ate xem tu unatafuta mchumba, xio oohh! Lafki, duu Dada zetu mna mambo nyiiiee!
Awap! We uxjing'ateng'ate xem tu unatafuta mchumba, xio oohh! Lafki, duu Dada zetu mna mambo nyiiiee!
Duh! Huo urafiki nn maslahi yake?
Urafiki tu masharti yote hayo je uchumba
Nipunguzie kidogo umri, watanzania tumezoea kupunguziwa kila kitu. Utanipata mm endapo tu: usipende kutizama series, movies za mapenz mapenz, usipende kushnda whatsap/fb/histogram, usiwe na tabia za kichuo chuo, vimini skirt piga kele, manyewe ya kichina toa (i.e, nyoa nywele au suka twende kilioni), shughuri zikiisha twenzetu kwa kanisa, ila shusha miaka japo kidogo ikiwezekana anzia na 26+ < X
nimejiajiri,niko mid 20's mwanamke
napenda kufanya mazoezi ya ni mwemmba kiasi
ninamtafuta kwa ajili ya kuwa marafiki tu SIO WAPENZI
VIGEZO NIMTAKAE
1.above 28
2.single
3.awe anafanya kazi,(Kujiajiri/kuajiriwa)
4.awe anapenda vitu vya kisasa kwenye entertaimant sijui niiwekeje(SITAKI MKOLONI)
nb:just a friend