Nahitaji Pikipiki ya Sunlg

Nahitaji Pikipiki ya Sunlg

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,125
Reaction score
2,449
Nahitaji Pikipiki ya Sunlg ambayo ipo kwenye hali nzuri ofa ni 800,000 kama kimeo kaa mbali

Kama unayo nicheki kwa 0713415537
 
Bado nahitaji pikipiki mwenye nayo anichek, natafuta sunlg au boxer dau lita panda mpaka 1,000,000 kma pikipiki itakua na ubora zaid
 
Nahitaji Pikipiki ya Sunlg ambayo ipo kwenye hali nzuri ofa ni 800,000 kama kimeo kaa mbali

Kama unayo nicheki kwa 0713415537

Kwa vijisenti hivyo unategemea usipate kimeo? Huna hela kubali kimeo. Baaas.
 
Kwa vijisenti hivyo unategemea usipate kimeo? Huna hela kubali kimeo. Baaas.


Kama hujui biashara kaa kimya wewe unataka niseme nina M2, na kama Huna kaa kimya, inaelekea unaumwa na kichwa
 
Kama hujui biashara kaa kimya wewe unataka niseme nina M2, na kama Huna kaa kimya, inaelekea unaumwa na kichwa

Nimeshapita huko zamani sana, siwezi kuhangaika na vipikipiki. Kama una hela nenda kanunue showroom. Hivyo vijisenti lazima ubambikwe vimeo. Sasa unavyopiga mikwala wenye vimeo wakae navyo unategemea utapata pikipiki?

Hizi shule mmeenda kujifunza ujinga? Source: FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Nimeshapita huko zamani sana, siwezi kuhangaika na vipikipiki. Kama una hela nenda kanunue showroom. Hivyo vijisenti lazima ubambikwe vimeo. Sasa unavyopiga mikwala wenye vimeo wakae navyo unategemea utapata pikipiki?

Hizi shule mmeenda kujifunza ujinga? Source: FaizaFoxy

Tunajua showrooms zipo na tuna uwezo huo ila unajua maana ya hili jukwaa au hujui? Kwani hawajui kwamba showrooms zipo na maduka? Acha kulifanya umeshapita kwenye pikipiki usikute hata baiskel hauna mbwembwe tu... Watu tuko hapa hapa tunapata vitu vizuri kutoka kwa wakuu.. Mimi nimeshapata, na kuna mkuu hapo juu ametoa namba yake nae nimempa namba ya mkuu hapa tatapata nzuri tu,
 
Last edited by a moderator:
Tunajua showrooms zipo na tuna uwezo huo ila unajua maana ya hili jukwaa au hujui? Kwani hawajui kwamba showrooms zipo na maduka? Acha kulifanya umeshapita kwenye pikipiki usikute hata baiskel hauna mbwembwe tu... Watu tuko hapa hapa tunapata vitu vizuri kutoka kwa wakuu.. Mimi nimeshapata, na kuna mkuu hapo juu ametoa namba yake nae nimempa namba ya mkuu hapa tatapata nzuri tu,

Ulikuwa ni ushauri tu. No big deal.

Kila la kheri.

Ila kuwa makini. Vaa helmet, endesha kistaarabu. Pale MOI siku hizi wameshachoka, ukivunjika wanakata miguu wanakuambia ukajitibie nyumbani.
 
Ulikuwa ni ushauri tu. No big deal.

Kila la kheri.

Ila kuwa makini. Vaa helmet, endesha kistaarabu. Pale MOI siku hizi wameshachoka, ukivunjika wanakata miguu wanakuambia ukajitibie nyumbani.
Pole mkuu mimi pikipiki nilisema siendeshi hata siku moja, labda siku ya dharura.. Usidhani watu tunaulizia vitu kama hivyo mjini hapa..
 
Pole mkuu mimi pikipiki nilisema siendeshi hata siku moja, labda siku ya dharura.. Usidhani watu tunaulizia vitu kama hivyo mjini hapa..

Hiyo siku ya dharura ndio nayokwambia uwe makini.

Yani hata ushauri mzuri bado unanimaindi?

Ahsante kwa pole japo sijajua ni ya nini.
 
Hapa kejeli hazisaidii kitu.

Mleta mada ya uhitaji alikuwa na nia nzuri saana tu,ila naona malumbano yamefikia sipo kabisaa kwenye Lengo.
Zaidi ya kuoneshana mie nani na wewe nani.Na sasa mie tajiri na mie Tajiri.

Halafu Asprin wewe ni mzoefu sana wa jukwaa hili,sijafikiria kama mnawez kufika hatua hii katika post hii.

Mwenzio akipandisha Jazba,sio lazima wote mpandishe Jazba mwisho wa siku woote mnakuwa hamna faida.Na mbaya zaidi mnawapoteza hata wasiohusika na ugomvi wenu na wengine wanaingilia malumbano bila hata kujua.So,end of the day hata muuzaji na mteja kunakuwa hakuna link nzuri tena.

Kununua kitu used sidhani kama ni umaskini au utajiri.Hata Hammer kwenye zoom zipo zinauzwa used.Je mwenye kununua hammer ni maskini.
Mie naamini mtu ananunua kulingana na hali yake,na hata kama mtu kuitwa maskini sidhani kama ni tusi,maana hakuna anaejua hali ya mwenzie.Tajiri ni Mungu peke peke yake mwenye kutupa Pumzi na uzima na wote kuamka Salama.
Ukiamka mzima tu basi wewe jua ni Tajiri,hayo mengine ni majaaliwa tu ya kipato.

Dhamira ya maisha kwa kila binaadam anaijua ni Mungu peke yake,na sio kila hatari ni hatari kwa wote.Unaweza kulala na kuamka mgonjwa au maiti.
Kwahiyo kama ananunua ili afanye Biashara ya Bodaboda cha msingi ni kumpa moyo kwamba awe makini tu kama kijana mwenzio.Maana mchango wa mawazo utakaompa,na kumuombea kwa mungu kwamba mungu amlinde katika biashara hiyo.Basi Mungu anakulipa zaidi bila wewe kujua.

Yangu ni hayo,turejee kwenye track
 
Back
Top Bottom