Nahitaji pikipiki used

Nahitaji pikipiki used

Jay10

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2018
Posts
724
Reaction score
560
Habar wana JF, kama kichwa cha tangazo kinavyojieleza, ninahitaji pikipiki kwa ajili ya matumizi binafsi na biashara pia.....iwe na masharti na vgezo vifuatavyo:

(1) iwe imetumika ndani ya mwaka mmoja yaan isewe imetumika zaidi ya mwaka mmoja tangu kununuliwa ikiwa mpya. Au mwaka mmoja na miez isyozid 5.

(2)iwe na afya njema(good condition) yaani isiwe imechoka au kufunguliwa/kuchokonolewa na mafund inshort isiwe na dosari.

(3)isiwe chinise type, iwe aina nyingi kama boxer, tvs, Honda, au (kidogooo) dayun etc

(4) iwe na vibal vyote..

(5)itakaguliwa na fund wangu pia kabla manunuzi

(6)mauziano yatafuata taratibu maalum wa mauziano + guarantee

(7)Bei yako iwe affordable inayoendana na hali ya maisha ya Mtanzania wa kawaida.

(8) uwe mkwel na mwaminifu.......

Mi nipo Moshi Njia panda...... Karibun PM na bei, muda iliyotumika, na vigez vngne kama nilivyoeleza awal..... Whatsapp number 0718-321418 kwa picha na maelezo ya ziada..... Asanten.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Platina 1m
IMG_20190403_2002584.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nicheki mkuu mi niko moshi, panda daladala ya sh.1000 toka hapo njia panda kesho uje hapa ofisini, ulizia Mtaa wa dar street Moshi afu nicheki whatsup au piga 0678502276 karibu mkuu pikipiki zipo nyingi sana unazohitaji, tuna bei nafuu.
 
Ntakucheki mzee
Nicheki mkuu mi niko moshi, panda daladala ya sh.1000 toka hapo njia panda kesho uje hapa ofisini, ulizia Mtaa wa dar street Moshi afu nicheki whatsup au piga 0678502276 karibu mkuu pikipiki zipo nyingi sana unazohitaji, tuna bei nafuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweza pata pikipiki iliyotumika china...sihitaji iliyotumika tz
 
Back
Top Bottom