kafuta ambele
JF-Expert Member
- Aug 7, 2017
- 276
- 748
Kama kichwa kinavojieleza nipo DSM Ofa yangu milioni moja na laki sita za kitanzania 1600000.
Kama kichwa kinavojieleza nipo DSM Ofa yangu milioni moja na laki sita za kitanzania 1600000.
Asante kwa ushauriPikipiki kanunue Kawasaki au Hata BMW Ni pikipiki nzur sana......
1.6ml bei ya spare ya hzo pikpkiPikipiki kanunue Kawasaki au Hata BMW Ni pikipiki nzur sana......
Bora deni kuliko kumiliki yake?Ushauri wa bure.....kopa kanunue mpya
😂😂😂😂 Sijapenda.....1.6ml bei ya spare ya hzo pikpki
Gharama ya service bora awe analipa riba.....akiwa na chombo kipya cha uhakikaBora deni kuliko kumiliki yake?
Mkopo haufai unamtafutia mtu pesa ya pikipiki mpya na hela nyingine kama nusu bei ya hyo pikipiki ngoja nijikongoje na hiki kidg nilichonachoUshauri wa bure.....kopa kanunue mpya
nimekupa link ya wauzaji pale juu, ingia tiktok upate mawasiliano yao --- muangalie namnaMkopo haufai unamtafutia mtu pesa ya pikipiki mpya na hela nyingine kama nusu bei ya hyo pikipiki ngoja nijikongoje na hiki kidg nilichonacho
Hapana ni muhimu kuomba mwisho mwema tu boss, natural death zinazotokana na magonjwa zina asilimia nyingi kuliko vifo vya ajaliMkuu kwa ushauri apo pia angalia sana,kibongo bongo pikipiki ni njia za kuwai futi sita chini.
Acha vitishoMkuu kwa ushauri apo pia angalia sana,kibongo bongo pikipiki ni njia za kuwai futi sita chini.
SahihiHapana ni muhimu kuomba mwisho mwema tu boss, natural death zinazotokana na magonjwa zina asilimia nyingi kuliko vifo vya ajali
Kila usafiri kibongobongo mkuu wanagongwa ata watembea kwa mguu tena pembeni ya barabaraMkuu kwa ushauri apo pia angalia sana,kibongo bongo pikipiki ni njia za kuwai futi sita chini.
Ni sawa lakini hii naitaka kwa matumizi yangu binafsi boss sidhani kama nina haja ya kwenda kokopa na kuanza kulipa deniKwa nini usifanye hivi,
Nenda pale WATU,
Nenda na mdhamini,
Vitambulisho vya nida
Laki nne ya kuanzia.
Utachukua pikipiki mpya(TVS 125 HLX)
Ukinunua TVS used utasumbuka sana, zinakuwa na magonjwa ya ajabu zikianza kuchoka....huwa ni nzuri sana na haziharibiki ovyo zikiwa mpya, unlike BOXER.
Take it or leave it!!
Kwa nini usitafute boxer kwa hiyo bei? Tvs zikianza kuugua kuzitibu ni kazi sana, sema kwa vile ni matumizi binafsi, ukinunua Spares hakikisha ni original.Ni sawa lakini hii naitaka kwa matumizi yangu binafsi boss sidhani kama nina haja ya kwenda kokopa na kuanza kulipa deni
ila umeshaurhwa vizuri hapo.Mkopo haufai unamtafutia mtu pesa ya pikipiki mpya na hela nyingine kama nusu bei ya hyo pikipiki ngoja nijikongoje na hiki kidg nilichonacho