Nahitaji piki piki kwa 800,000/=

Nahitaji piki piki kwa 800,000/=

Duly zura

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2013
Posts
411
Reaction score
37
Habari wakuu....nahitaji kununua pikipiki kwaajili ya biashara .Budget yangu ni laki nane tu na iwe kwenye hali ya kuridhisha kabisa!

Mwenye nayo ani PM.
 
Habari wakuu....nahitaji kununua pikipiki
kwaajili ya biashara .Budget yangu ni laki nane
tu na iwe kwenye hali ya kuridhisha kabisa!
mwenye nayo ani PM
wasiliana na mimi ninao piki piki zipo kwenye hali nzuri
 
kama ya wizi unataka mpya kabisa ni sema hapa wazi!
 
Back
Top Bottom