Hiyo elfu 15 hata kwa wiki hupatiKama kichwa cha habari kinavyohusika nahitaji PC ya kukodi yenye sifa zifuatazo
Model iwe HP
Iwe na uwezo wa kukaa na chaji at least two hours
Offer kwa mwezi Tshs 15000/
Nipo Dar
Kwa alie tayari aje PM
Yaani we mtu akupe pc mwezi mzima halafu umpe 15k? Kwani imekuwa chumba cha kupanga? Depreciation ya electronics iko juu sana, labda 150k kwa mwezi
Kariakoo ni wapi?15k na nshapata mzee
Wanaofanya biashara washakuja Pm
Kukusaidia sijasema nataka PC mpya
Hivi unajua kariakoo unapata PC used kwa 160k na warranty ya miezi mitatu?
Kariakoo ni wapi?
Sijawahi sikua hii kitu....Kama kichwa cha habari kinavyohusika nahitaji PC ya kukodi yenye sifa zifuatazo
Model iwe HP
Iwe na uwezo wa kukaa na chaji at least two hours
Offer kwa mwezi Tshs 15000/
Nipo Dar
Kwa alie tayari aje PM