leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 1,313
- 5,984
Kama ni utani ni sawa lakini kama ni kweli pole....
Haya makanisa si rahisi kama unavyofikiria!!!!
Hakikisha una waganga wa kutosha na unakuwa muumini kwanza wa shetani ili uweze kuwa mchungaji.
Huko chuo ulipoteza miaka yako na muda wako bure kabisa.....
Haya makanisa si rahisi kama unavyofikiria!!!!
Hakikisha una waganga wa kutosha na unakuwa muumini kwanza wa shetani ili uweze kuwa mchungaji.
Huko chuo ulipoteza miaka yako na muda wako bure kabisa.....