Nenda mzimamzima magogoni sidhani kama utarudishiwa getini ila nasikia kuna mlolongo wa ofisi unazopitishwa na ile ofisi ya mwisho kabisa ili uruhusiwe kumuona ambayo imepakana na ofisi yake nasikia hao jamaa wako 'exempted from the law' wanaweza kukufanya chochote na hakuna kesi