Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 3,084
- 4,474
- Thread starter
- #41
Pesa ipo mkuu wewe toa namba pmBenki una salio kiasi nikupe namba chap
Pesa ipo mkuu wewe toa namba pmBenki una salio kiasi nikupe namba chap
And that's my baba,😍😍Nikishakwambia "I'll be there for you"😊.
DuuhAnd that's my baba,
Nataka tu chocolatebasii..!!
Jamaa akikaza atapekecha ulindi na uwimbombo soon tu🤣🤣Duuh
Huku yamejaa majambazi.Bora ungeenda hata fb🤣🤣Wadada mnaokuja PM kuweni serious basi hasa kwa mambo muhimu kama haya.
Siyo unakuja pm kupotezeana muda tu.
Yaani hatujafahamiana bizuri bado mizinga ishaanza daah 🤣🤣
duudu...!!Duuh
akaze kwenye mali yake..?Jamaa akikaza atapekecha ulindi na uwimbombo soon tu🤣🤣
Kweli mkuu nimeona 😄😄Huku yamejaa majambazi.Bora ungeenda hata fb🤣🤣
Wote waliojaribu kufanya kama wewe waliishia kufunga account zao humu na kuichukia kabsa jf🤣🤣🤣Kweli mkuu nimeona 😄😄
Kwa hiyo umejichubuaRangi imenikosesha bebe
And that's my baba,
Nataka tu chocolatebasii..!!


kuna ujumbe wako wasapu madammeKumbe humu wote wamechoka, eeeh?Utapata watu humu wamechoka hadi basi