Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,941
Habari wakuu wangu i hope kila mmoja wenu yuko salama. Niende kwenye lengo kamili.
Nahitaji mwenye kuuza photocopy machine aniuzie au mkazi wa Dar aniambie machine hiyo inauzwa bei gani.
Mimi ni kijana ambaye nahitaji kuinuka na kusimama kama wengine kiuchumi na plani yangu mwaka huu nilitaka kuanzisha stastinary huku mkoani. Pia kama hamto jari mtu yeyote mwenye uzoefu na biashara hiyo si vibaya akanijuza ili kunipa mwanga nianzie wapi.
Natanguliza shukurani kwa yeyote atakaye nipa mawazo yoyote nayo nitayafanyia kazi. Thanks
Nahitaji mwenye kuuza photocopy machine aniuzie au mkazi wa Dar aniambie machine hiyo inauzwa bei gani.
Mimi ni kijana ambaye nahitaji kuinuka na kusimama kama wengine kiuchumi na plani yangu mwaka huu nilitaka kuanzisha stastinary huku mkoani. Pia kama hamto jari mtu yeyote mwenye uzoefu na biashara hiyo si vibaya akanijuza ili kunipa mwanga nianzie wapi.
Natanguliza shukurani kwa yeyote atakaye nipa mawazo yoyote nayo nitayafanyia kazi. Thanks