corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,665
- 3,385
Na Mimi kanichekesha balaamkuu umenichekesha sana
invest what you are willing to lose
Na Mimi kanichekesha balaamkuu umenichekesha sana
invest what you are willing to lose
yaani nime sense uchungu uliokua nao wakati unaandika hii comment.... lol.Unataka umfanyie nn usikute unalo linjemba huko mumshuhulikie hanisi wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo una lako jambo unataka kumnaniliuuuuNimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
HahaaaaaaaMuongo una lako jambo unataka kumnaniliuuuu
Nimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
Kwan ukisem ww anith kun nnHahahaaa.
What I wanted to do is to help her cuz naishi Ilala na nawafaham watoto wa kiarabu wengi ambao wanapenda this game.
Sasa nikataka nim-pm ili niweze kum-connect nao ili nae aweze ku-enjoy na kufurahia maisha kama binadam wengine asiwe lonely.
Ndo mana nikasema nim-check pm nikakuta amefunga pm that's why nikamuuliza mbona umefunga pm yako.
Lengo ilikuwa ni kumsaidia ndugu yetu nae afurahie maisha na asiwe mpweke wandugu.
Thanks.
Tatizo unafanya sex ya namba 1 embu jaribu reverseNimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
Mkuu kwa hiyo kauli mbiu yako "wekeza ambacho upo tayari kukipoteza" imenifanya niwaze sana, nimeitizama kwa upande wa kibiashara naona ukiitumia pale unapoona meli inaenda mrama inakuruhusu ku-change bzness significantly ku-match upepo,mkuu umenichekesha sana
invest what you are willing to lose
dah jamani watu mna manenoAisee!
Dunia simama nishuke maana huu mwendo ni hatari.
Unataka umfanyie nn usikute unalo linjemba huko mumshuhulikie hanisi wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana ndugu yangu, siku si nyingi ntaielezea Kwa mapana sana kule jukwaa LA ujasiliamaliMkuu kwa hiyo kauli mbiu yako "wekeza ambacho upo tayari kukipoteza" imenifanya niwaze sana, nimeitizama kwa upande wa kibiashara naona ukiitumia pale unapoona meli inaenda mrama inakuruhusu ku-change bzness significantly ku-match upepo,
Naombaa na wewe unipe maana yake na jinsi unavyoitumia, ningependa iwe hata thread hii
...huyo kwenye avatar ndo wewe hanithi?Bado! Wanaokuja ni wa kawaida tu!
Watu wanadhani natania! Mwenzao nipo serious...
Kama nina matatizo si bora niwe na mwenyematatizo mwenzangu!
Pole, kuna mambo hayaondoki kwa uwezo Wa kibinadamu,wanawake wengi wanashambuliwa na nguvu za mapepo ya ngono. Maombi yanatakiwa sana.Bado! Wanaokuja ni wa kawaida tu!
Watu wanadhani natania! Mwenzao nipo serious...
Kama nina matatizo si bora niwe na mwenyematatizo mwenzangu!