Habari wadau, mimi ni mwanaume wa miaka 43 na hitaji mwanamke wa kuzaa nae tu bila kuoana na kumtunza yeye na wanangu hao ikiwemo kumjengea nyumba.
sifa:~
1.awe mha
2.mwalimu wa shule ya
msingi
3.awe mwenyeji wa kasulu
4.awe tayari kupima HIV
5.awe hana mahusiano ya
kimapenzi na mwanaume
yeyote
kama unakidhi vigezo nipm
sifa:~
1.awe mha
2.mwalimu wa shule ya
msingi
3.awe mwenyeji wa kasulu
4.awe tayari kupima HIV
5.awe hana mahusiano ya
kimapenzi na mwanaume
yeyote
kama unakidhi vigezo nipm