Nahitaji mwanamke wa kuwa mke

ushafanya uzinz weee xaxa unataka kuoa.jitahidi kuchagua ukioa ambaye co bikira ujue ni demu wa mtu.
 
dah ama watu wameamua kuvunja ukapera.hope utafanikiwa kumpata lakin kwa humu jf....mhhhh
 
Mkuu tembelea haya maeneo utapata mke mwema
msibani
makanisani
misikitini
kwenye maharusi
kwa wapenda hela kama vyuoni kumbi za starehe kwa wauza kuku
na mwisho kabisa tafuta hela watakuja wao wenyewe kwa kigezo cha hela
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…