nyamakonya
Member
- Sep 28, 2022
- 8
- 16
Ninahitaji ku improve Kingereza changu kwa sababu nafanya kazi sipati muda wa kujiunga na chuo. Kwahiyo nilikuwa nahitaji msaada wa kupata mwalimu wa kuwa ananifundisha hasa wakati wa jioni. Niko Arusha.
Nahitaji msaada wenu.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Nahitaji msaada wenu.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app