grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Wafupi tuna shiiiiidaaah
Urefu pesa peke yake, ingekuwa ufupi shida Mrisho Ngassa asingeoa wake wawili.
Wafupi tuna shiiiiidaaah
kwa vigezo vyako hivo mtengeneze mwenyewe awe wa kwako
kwa vigezo vyako hivo mtengeneze mwenyewe awe wa kwako
Marahaba Mkuu.. kwa heshima na taadhima umepatia swaha !! Kusema ukweli hata hii lugha kiswahili ni maneno ya kiarabu...sema lafudhi zetu ndiyo mparaganyo !!
najaribu kujifunika na mahasidi !!
Msema kweli upendwe na Mungu...Absolutely true. 40% ya lugha ya kiswahili ni maneno yamekopwa toka lugha ya kiarabu. Tofauti ni matamshi lakini sawa kabisa. Waarabu ndo walikuwa wa kwanza kuja huku Afrika ya Mashariki.
Msema kweli upendwe na Mungu...
Ubrikiwe.... MARIGARIGA
urefu kwako unaanzia futi.ngapi?, maana kila mtu ni mfupi kwa mtu mwengine au mrefu kwa mtu mwengine