Habari wana JamiiForums!
Kwa mara ya kwanza naingia humu kumtafuta ambaye atakuwa mtu wa karibu maishani mwangu. Nina miaka 29, ni Mkristo, ninafanya kazi katika shirika binafsi na nina elimu ya Diploma.
Nahitaji mwanaume. Awe mkristo, preferably RC, awe na shughuli inayomuingizia kipato, mrefu na awe na umri kuanzia miaka 31-39.
Tafadhali, aliye serious naomba ani PM.
Kwa mara ya kwanza naingia humu kumtafuta ambaye atakuwa mtu wa karibu maishani mwangu. Nina miaka 29, ni Mkristo, ninafanya kazi katika shirika binafsi na nina elimu ya Diploma.
Nahitaji mwanaume. Awe mkristo, preferably RC, awe na shughuli inayomuingizia kipato, mrefu na awe na umri kuanzia miaka 31-39.
Tafadhali, aliye serious naomba ani PM.